ZANZIBAR: RAIS HUSSEIN MWINYI AFANYA TEUZI

> Baadhi ya walioteuliwa na Rais Mwinyi ni Kanali Azana Msingiri kuwa Mkuu wa KMKM huku Kanali Makame A. Daima akiwa Kamishna Kikosi cha JKU

> Kanali Rashid Mzee Abdallah anakuwa Kamishna wa Zimamoto na Uokozi

Soma https://jamii.app/ZnzTeuzi

April 21, 2021
No comments here yet...
Do you want to add a new comment?