ZANZIBAR: RAIS HUSSEIN MWINYI AFANYA TEUZI
> Baadhi ya walioteuliwa na Rais Mwinyi ni Kanali Azana Msingiri kuwa Mkuu wa KMKM huku Kanali Makame A. Daima akiwa Kamishna Kikosi cha JKU
> Kanali Rashid Mzee Abdallah anakuwa Kamishna wa Zimamoto na Uokozi