VIJANA TUWE WABUNIFU, WAAMINIFU NA TUSAIDIE JAMII ZETU
Mdau anasema wimbi kubwa la Vijana wamekuwa Wavivu wa kubuni, wanatumia muda mwingi katika starehe zisizo za ulazima na hata kukosa muda wa kupumzika. Wanasahau kufikiria kuisaidia Jamii
Kuishi ndani ya matendo na kauli nzuri kutafanya wajenge thamani katika Jamii
Msome - https://jamii.app/UshauriVijanaSOC
#StoriesOfChange