VIJANA TUWE WABUNIFU, WAAMINIFU NA TUSAIDIE JAMII ZETU

Mdau anasema wimbi kubwa la Vijana wamekuwa Wavivu wa kubuni, wanatumia muda mwingi katika starehe zisizo za ulazima na hata kukosa muda wa kupumzika. Wanasahau kufikiria kuisaidia Jamii

Kuishi ndani ya matendo na kauli nzuri kutafanya wajenge thamani katika Jamii

Msome - https://jamii.app/UshauriVijanaSOC

#StoriesOfChange

February 11, 2022
No comments here yet...
Do you want to add a new comment?