MDAU: WANASIASA WANAWACHUKULIAJE WANANCHI WA KAWAIDA?
Anasema kwa Mfano katika Kampeni za Uchaguzi, Mwanasiasa huweza kuwaambia Wananchi jambo fulani litakamilika muda mfupi tu baada ya kumchagua, lakini inaweza kupita hata miaka 10 hakuna kinachofanyika
Anashauri wananchi kujitahidi kadri ya uwezo wao kung'amua Mwanasiasa anayefaa na asiyefaa kupitia vitendo vyao na si maneno. Pia, Wanasiasa wanapaswa kujua zama zimebadilika, sasa sio kama zamani
Soma - https://jamii.app/SOCSiasa
#StoriesOfChange