RUVUMA: RC AKATAA KUKABIDHI MADAWATI YASIYO NA UBORA

> Madawati 50 na meza 10 zilizotakiwa kukabidhiwa ktk Shule ya Msingi Mtakanini yameshindwa kukabidhiwa kutokana na ubovu kabla ya kutumika

> RC Christina Mndeme ameagiza vifaa hivyo virekebishwe

Soma https://jamii.app/RCRuvuma

February 03, 2021
No comments here yet...
Do you want to add a new comment?