WATU 29,188,347 WATARAJIWA KUPIGA KURA OKTOBA 28

> Idadi hiyo ya wapiga kura imeongezeka, mwaka 2015 walioandikishwa walikuwa 23,161,440

> Aidha, Tume imewaondoa wapiga kura 30,487 kutokana na kukosa sifa kwa mujibu wa Sheria

Soma https://jamii.app/NECUchaguziWaandishi

#TZ2020 #Uchaguzi2020

September 15, 2020
No comments here yet...
Do you want to add a new comment?