WATU 29,188,347 WATARAJIWA KUPIGA KURA OKTOBA 28
> Idadi hiyo ya wapiga kura imeongezeka, mwaka 2015 walioandikishwa walikuwa 23,161,440
> Aidha, Tume imewaondoa wapiga kura 30,487 kutokana na kukosa sifa kwa mujibu wa Sheria
Soma https://jamii.app/NECUchaguziWaandishi
#TZ2020 #Uchaguzi2020