NDUGAI: WALIMU WAONGEZEWE MASOMO YA KUFUNDISHA
> Spika Ndugai ameitaka Wizara ya Elimu kuangalia namna ya kufanya Walimu wafundishe masomo kuanzia 3
> Asema Walimu wa Sekondari kufundisha somo 1 au 2 husababisha uhaba wa Walimu kwa baadhi ya Masomo
NDUGAI: WALIMU WAONGEZEWE MASOMO YA KUFUNDISHA
> Spika Ndugai ameitaka Wizara ya Elimu kuangalia namna ya kufanya Walimu wafundishe masomo kuanzia 3
> Asema Walimu wa Sekondari kufundisha somo 1 au 2 husababisha uhaba wa Walimu kwa baadhi ya Masomo