NDUGAI: WALIMU WAONGEZEWE MASOMO YA KUFUNDISHA

> Spika Ndugai ameitaka Wizara ya Elimu kuangalia namna ya kufanya Walimu wafundishe masomo kuanzia 3

> Asema Walimu wa Sekondari kufundisha somo 1 au 2 husababisha uhaba wa Walimu kwa baadhi ya Masomo

Soma https://jamii.app/MasomoWalimu

February 03, 2021
3 comments
Avatar
Al-Sultan 
Ama kweeel ukiwa na shibe huwezi kujua maumivu ya mwenye njaa
Never give up Never give up 
Ndugai ni mkundu, ivi yeye anajua taabu ya kufundisha au anajiropokea tu?
Avatar
Wolf fox 
Tanzania hii .... Ukiwa Kwenye position Flan unaropoka ropoka tu kitu chochote...... Ujinga
Do you want to add a new comment?