LIVERPOOL YAKUMBANA NA KIPIGO CHA ‘MBWA KOKO’ KUTOKA KWA ASTON VILLA
- Bingwa Mtetezi wa Ligi Kuu Soka England, Liverpool imekumbana na kipigo kizito cha goli 7-2 kutoka kwa Aston Villa katika mchezo wa Ligi hiyo
- Liverpool ni Bingwa Mtetezi wa kwanza wa Ligi Kuu Soka England kufungwa goli 7 katika mchezo mmoja wa Ligi hiyo tangu Arsenal ifungwe hivyo na Sunderland mnamo Septemba 1953
#JamiiForums #JFSports #JFMichezo #Sports #Michezo